TANZANIA KUPOKEA BILIONI 34 KUTOKA VODAFONE KUIMARISHA USAFIRI WA DHARURA KWA WAJAWAZITO
Na.WAF, New York, Marekani Tanzania itapokea msaada wa Dola Milioni 15 (taribani shilingi Bilioni 34) kutoka Kampuni ya Vodafone ili kuwezesha usafiri wa dharura kwa wajawazito. Ahadi hiyo imetolewa katika kikao cha pembezoni cha Mkutano Mkuu wa 77 wa Wakuu wa Nchi (UNGA) unaoendelea Jijini New York, Marekani. Katika kikao hicho, chini ya Uenyekiti wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed